Recent content by ribart Focus

  1. R

    Madalali kwenye ajira

    Ivi ni kwanini kazi sikuhizi wanapewa madalali?.Watu kabsa wameanzisha hadi makampini watu m-subscribe ili kupata kazi, kwanini yani ili upate kazi mpaka utoe hela. Eti kazi hii ili kupata Ada yake ni 30000 .WHY? Jamii Forum fikisheni hii sehemu husika ishakuwa kero.
  2. R

    Zoezi la uandikishaji daftari la wapiga kura kwa Dar es salaam limefikia wap? Kuna watu wameitwa? au process Bado?

    Samahani nauliza hivi zoezi la uandikishaji daftari la wapiga kura kwa Dar es salaam limefikia wap? Kuna watu wameitwa? au process Bado? Majibu yenu.
Back
Top Bottom