Hapo mwanzo nilidhani mhimili wa bunge ndio mbovu kutokana na kushindwa kuisimamia serikali kama asemavyo CAG mstaafu kuwa bunge letu ni dhaifu, taarifa za CAG kila mwaka zinathibitisha kuwa hatuna bunge makini ndio maana mambo yanaenda hovyo hovyo,
Bunge hili limeshindwa kutunga sheria makini...
Habari wanajukwaa?
Hivi gharama za uendeshaji kesi ya Lissu zinatoka wapi? (Posho kwa maaskari, posho kwa maafisa wa mahakama na nyinginezo) au kwa Tanzania gharama za uendeshaji Kesi hazitazamwi kama matumizi mabaya ya pesa za umma?
Madeni ya Taifa yanaongezeka na bado matumizi yasiyo ya...
Polisi WaTanzania ni watu wasiokuwa na ueledi, badala ya kuzingatia katiba wao wanafuata maelekezo yanayopinga katiba, kimsingi ni kundi la watu wajinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.