Yeah ipo hivyo hata baadhi ya post ukireply Ila SEMA hii baada ya kupost thread inatoa taarifa kuwa haionekani Kwa umma hawajasema kuwa utaiona wewe peke yako tofauti na utakaporeply thread yoyote, hivyo itakuwa moderators wanapitia maudhui
UTAANGULIZI
Kwanza kabisa tunapaswa kuelewa tunaposema elimu tunamaanisha Nini?Inaweza kuwa tofauti na unavyofikiri Lakini maana halisi ya elimu tunasema ni taarifa zilizo rasmi ambazo Huwa zimebeba maudhui yenye kulenga kuboresha zaidi au kupunguza kama sio kuondoa kabisa madhara...
Maana ya shindano ni lazima mshindi apatikane na ni lazima kuwe na limit hivyo kulalamika sio tija kinachopaswa ni kuona umuhimu wa kuwa miongoni mwa washiriki tu Kwa kuandika nakala yenye kuelimisha na kuleta ufumbuzi Katika nyanja tofauti tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.