Hello, nina 30yrs (girl) naish kwetu(nawish kutoka), natafuta kazi sipati, nina kabiashara kadogo kutwa nikifungua asubuh nakutana na kinyesi nje ya frem so biashara yenyew haitoki, sina mahusiano ya kueleweka mtu ananiacha bila sababu yan ghafla tu, inshort nothing is okay with me na nimechoka...