Kitu kimoja ni kwamba... Familia nyingi za ki Tanzania hupenda kuwachagulia watoto nin cha kusoma,..but mi naona Do what you love from your heart. Mtu akifauru Biology, chemistry, na physcs atakwambia nataka nisome MD, au CO... Ila hana ndoto hizo za udaktar mapema sikufichi huwa ndo ilivyo...
Inategemea unataka kusoma nini? kama nlivosema MULTIMEDIA ipo wide sana.. Na katika suala la wapi utaajiriwa? Au wapi hasa utafanya kazi..? Now days industries nyingi sana.Mfano broadcasting industry i.e RADIO&TV unaeza ukaitwa kufanya setting za sound as Techinician person( namaanisha sound...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.