Recent content by Revo Busungu

  1. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Ila IT na Computer engineering ni course mbili tofauti
  2. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Wew tu na mipango yako ya kusoma, ukimaliza IT omba tena Comptr engnrng. isome ni simple....
  3. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Unajua Huwezi kuelewa chochote kwa kitu ambacho hukipendi... Mimi nlicho andika kuhusu multimedia sijacopy, wala kutunga but I understand.
  4. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Kitu kimoja ni kwamba... Familia nyingi za ki Tanzania hupenda kuwachagulia watoto nin cha kusoma,..but mi naona Do what you love from your heart. Mtu akifauru Biology, chemistry, na physcs atakwambia nataka nisome MD, au CO... Ila hana ndoto hizo za udaktar mapema sikufichi huwa ndo ilivyo...
  5. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Said... Unajua sio kila kitu lazma ufundishwe.. Then kama unapenda kitu always unakua keen kufaham kuhusu hicho kitu...
  6. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Niice Sent from my O1 using JamiiForums mobile app
  7. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Inategemea unataka kusoma nini? kama nlivosema MULTIMEDIA ipo wide sana.. Na katika suala la wapi utaajiriwa? Au wapi hasa utafanya kazi..? Now days industries nyingi sana.Mfano broadcasting industry i.e RADIO&TV unaeza ukaitwa kufanya setting za sound as Techinician person( namaanisha sound...
  8. R

    Hii course ya Multimedia Technlogy and Animation inahusiana na nini?

    Well. Kama upo interested kasome ni vi2 ambavyo vipo unique sana,.. Ila kama utaombea cha O-LEVEL utaanza dip.
Back
Top Bottom