Recent content by Revenger

  1. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Kumpoteza not fair ila kwa kipimo kile kile alichopima na yeye atapimiwa na nyongeza kdg.
  2. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Unataka kujua ?
  3. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Anajua vizuri sana kuwa ana mume na ananifahamu. Nilichoamua ni kupita na mke wake Na kumkomesha kwa 'wataalam'
  4. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Good idea
  5. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Yes. Na hichi ndicho namfanyia. Maumivu yale na mvunjiko alionisababishia na yeye a feel
  6. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Hili pia nililiwaza.
  7. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Am ready for anything as long as mission successful.
  8. R

    Nataka kulipiza kisasi

    jerrybanks, Nipe connection ya huyo dada nimpe kazi. Actually kwa sasa natumia mbinu zoote zitakazofanikiwa.
  9. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Nipe huu mchango niliuwaza pia
  10. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Sure anahitaji lesson coz kiburi chake ni kikubwa
  11. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Ni dharau kubwa sana sana na haitakiwi kuachwa bila kuishughulikia
  12. R

    Nataka kulipiza kisasi

    Hakika una watu wanadharau humu duniani tena ya kiwango cha juu hivyo basi wanatakiwa watendewe sawa sawa na kiwango cha dharau yao. Iko hivi, kuna kijana niliona ana mfatilia mke wangu nami nikamwonya zaidi ya mara tatu. Hivi karibuni nikathibitisha kuwa ni kweli ametembea na mke wangu. Sasa...
Back
Top Bottom