Wadau mimi ni msichana nina miaka 25 kiukweli sijui mapenzi ya mama wala ya baba na kwenye hii dunia najiona nipo peke yangu.Mama yangu alitengana na baba mimi nikiwa mdogo sana nahisi miaka 3 au 4 na ikapelekea mimi kulelewa na bibi kwani mama alikuwa bado hajiwezi kimaishaila baada ya mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.