Recent content by Restitius Respicius

  1. Restitius Respicius

    Usiwaambie watu mambo ya ndani ya ndoa yako

    1. Usimwambie mtu yeyote jinsi mwenzi wako alivyo dhaifu. Mtu anaweza kutumia hilo dhidi yako/ao. 2. Usiwaambie watu jinsi mnavyogombana na mwenzi wako, wawaone mmekamilika kutoka nje wakati mnatatua mambo ndani. 3. Hata rafiki wa karibu usimwambie pesa ngapi unapata pesa kiasi hani kutoka kwa...
  2. Restitius Respicius

    Changamoto haikimbiwi, inakabiliwa

    Kila changamoto inapokuja kwenye maisha huwa inakuja kwa sababu maalumu na siyo kwa bahati mbaya, kwa hiyo hutakiwi kuikimbia changamoto inayokukabili na badala yake unapaswa kuikabili changamoto yako kwa akili, hekima na utashi wa hali ya juu sana kwa sababu; 1. Kila changamoto inakuja...
Back
Top Bottom