Nchi yyt duniani haiwezi kuendeshwa bila kodi. Tatizo le2 watz kila ki2 siasa. Hatuna uzalendo kbs wa kulipa kodi. Ni nchi gn ambayo kiongoz anaongoza kwa kutumia pesa yake? Kodi hy wl haina kero kwa mtumiaji,ila tunataka kulitumia kisiasa kwaajili ya maslahi ya vyama vyenu!! Sioni mantiki ya...
Mfumo waserikali mbili unatunyonya watanganyika,na umefuta kbs utaifa! Ni sawa na dagaa kummeza nyangumi. Km hoja ni muungano,mfumo mzuri ni waserikali moja. Mfumo wa serikali tatu ni hatari kwa usalama wetu,kutokana na mahusiano ambayo Z'bar hutaka kushirikiana na nchi za kiarabu ambazo...
Lowassa hajaanza kampeni ila asasi nyingi zinamkimbilia kwasababu ana moyo wa majitoleo zaidi. Kwakuwa wengi wetu wanataka awe mmoja wa wagombea,bs kila anachofanya sasa hivi anaonekana anafanya kampeni. Mi naona anakubalika sana,ndo maana anaalikwa kila sehem.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.