Ukipata bora ukae kimya au unadhani hakuna wananchi wenye hasira kali acha kukatisha wenzio tamaa! Alafu nyie ndo wakufungiwa jiwe shingoni na kutoswa baharini!
habari ndugu zangu wapenzi...mimi mpaka sasa nikijaribu ku download admission later nashindwa..sasa ninachokitaka ni msaada kwa anaefahamu hata gharama za mwanzo ili nijipange mapema zaidi me ni first year
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.