Yes, ni kwel kabsa hii tabia wanayo, nina mwanamke natamani nimuoe ila ana mtoto mmoja na huyoo mwanamke ni wa KG, je nitakuwa nimepata au nimekosea wadau najua ile kauli yetu ya "tutaanzaje mechi 0-1...!?" lakn ni mzur sana na anajituma sana na pia ni mkarimu sana. Naomba ushauri wana jamvi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.