Recent content by RegnardTm

  1. R

    Wanawake wa Kigoma (Waha) na uvumilivu wa maisha

    Yes, ni kwel kabsa hii tabia wanayo, nina mwanamke natamani nimuoe ila ana mtoto mmoja na huyoo mwanamke ni wa KG, je nitakuwa nimepata au nimekosea wadau najua ile kauli yetu ya "tutaanzaje mechi 0-1...!?" lakn ni mzur sana na anajituma sana na pia ni mkarimu sana. Naomba ushauri wana jamvi.
Back
Top Bottom