Recent content by Reedrichards

  1. R

    Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

    Ni ajabu kwa wasomi wanaotumia vitabu sawa na kujifunza kitu sawa kushindana juu ya mahali gani wamesoma. Location of where you read the book is immaterial whether in UDSM or elsewhere, its the content that counts, were u keen enough to grasp the concept or not?!, i once met a young man studied...
  2. R

    Technology ya Google inaharibu elimu yetu

    hata chabo haziruhusiwi chumba cha mitihani na watu wanajiandika, wanaandika kwenye rula, kwenye viti, swala hapa lipo mbali na uhalali, lina husiana zaidi na 'kujilipua' do or die..wataalam wa mig wanaelewa hili sana.
  3. R

    Technology ya Google inaharibu elimu yetu

    Enzi za wazee wetu hapakua na search engines wazee wetu walijifunza kutumia akili zao kutunza kumbukumbu. Kwa kizazi chetu cha kisasa computer na simu zinajua vitu vingi kuliko sisi, ubaya ni kwamba hata namba muhimu tumezitunza ndani ya simu, namba ya kadi ya benki, namba mita ya umeme...
  4. R

    Naomba msaada, TCU profile inaonesha sikufanya application

    Watu wa diploma waulizeni NACTE, mwaka jaea ilikua nafasi TCU zipo ,nacte hamna, ingawa system ni moja lakini kila taasis imepewa idadi yake ya wahitajiwa,NACTE Kuzuri, kama una matatizo katika ku apply ama system yako haileweki unapewa nafasi ya kujaza pale pale. NB. Usiweke miguu nyumbani...
  5. R

    NACTE wananicheleweshea matokeo, naomba ushauri

    Kama tatizo ni la chuo chenu kuchelewa kupeleka matokeo wape muda ,ila, kama tatizo ni systems yao ni vema ukaenda ofisini kwao uka appy hapo hapo ukamalizana nao
Back
Top Bottom