Wadau naombini mnishike mkono kama kuna kazi yoyote ya kueleweka kidogo ambayo ni ya halali naombeni mnisaidie na Mimi nipate chochote kitu hata kidogo basi
Nipo Dar es Salaam jinsia wakiume miaka 25 elimu kidato Cha nne kama Kuna kazi ya duka stoo viwandani kufanya usafi ofisini nk
Usichojua wale MACHINGA wengi wao pale wanachukua mzigo kutoka kwenye maduka makubwa hapohapo ndiyo wanaenda kuuza kwa makubaliano kifupi zile biashara ni zawenye maduka makubwa palepale wale MACHINGA ni wauzaji tu wakiuza pesa wanapeleka kwa wenye maduka wao wanapewa chochote kitu
SIYO rahisi kama unavyofikili mpunga nishalima kyela mbeya. Nishaingia kwenye shamba la korosho ungejua kwanini wakulima wanayatelekeza mashamba Yao kwanza kilimo kinahitaji pesa na mm Sina kitu pesa ya kukodi shamba pesa ya dawa kuliangalia shamba na muda wa kusubiri mavuno sehemu ya kukaa
Miaka yangu ni 25 elimu kidato Cha nne kama unaweza kunisaidia a nikakata hii hali nikaondoka hizi sauti kabisa naomba unisaidie maana mm nimejaribu sana nimeshindwa
Mimi siyo msomi Wala sijui vizuri matumizi ya lugha sahihi hivyo kama wewe unaijua lugha vizuri kuisoma na kuiandika basi usifikilie kila mtu ni msomi na anakijua lugha harafu usitake kujifanya mjuaji sana mimi kinachomitesa ni matatizo ya kiimani siyo mvivu kama kazi nishajaribu sana kufanya...
Maumbi siyo tabia tambua hilo inaweza kubadilisha rangi ya mwili jinsia kama ulivyosema ila uwezi kubadilisha tabia yako asili yako uliyozaliwa. nayo harafu mimi nimeeleza hapo kinachomitesa siyo tabia ni nguvu zingine kabisa ambazo zipo ndani ya mwili wangu ndiyo tatizo kama kijichanganya na...
Nazani ujawahi kupitia Hali kama hii Wala haujawai kukutana na kitu Cha ajabu katika maisha yako nilijaribu kujihusisha na ufundi wa magari nilikuja kupata ugonjwa wa kutisha sana nikatibiwa kwa njia ya asili nilijaribu kufanya biashara nikafeli vibaya sana pesa inapotea bila kuonekana yaani...
Habari Wana jamii forums.
Kama nilivyotangulia hapo juu basi nipo hapa kuelezea magumu ninayoyapitia kwa Sasa maishani mwangu na sioni dalili ya kutoka katika Hali hii niliyonayo Sasa zaidi naona inazidi
Mm ni kijana wa miaka 25 Sina wazazi nilishapotoza wote wawili nimezika nipo na ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.