Recent content by Rebeka 1

  1. R

    CHADEMA wameiumiza Ubungo kwa miaka 10

    Kwa anaeijua vizuri Ubungo kama Jimbo atakua shaihidi kuwa CHADEMA hawastahili tena kwanzia ngazi ya UDIWANI hadi UBUNGE. Ubungo inamindombinu mibovu ya barabara ambayo lilikua Jukumu la Mbunge na Balaza la Madiwani. Chadema mlipewa Ubunge mmepewa na halmashauri lakini vitu vya kawaida tu...
  2. R

    GE2020 Lissu asema atafuta vitambulisho vya machinga kwasababu elfu ishirini wanayotozwa ni wizi mtupu, haijulikani inaenda wapi

    Una makengeza ya kufikiri. Ukitoa urasmi hujui kama ndiyo unarudi kule kule kwenye kuwaumiza
  3. R

    GE2020 Lissu asema atafuta vitambulisho vya machinga kwasababu elfu ishirini wanayotozwa ni wizi mtupu, haijulikani inaenda wapi

    LISSU ATANGAZA VITA DHIDI YA WAMACHINGA TANZANIA. ASEMA, WAMEKUA KERO KWA WAFANYA BIASHARA WA KIGENI. (kutoka Tunduma Mbeya) Anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia tiketi ya CHADEMA ndugu Tundu A Lissu ameweka wazi msimamo wake juu ya Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama...
  4. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Unafahamu mioyo inayovuja damu wewe?
  5. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Mko wangapi watu wenyewe hadi wawaondoe
  6. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Chomeni muone cha mtema kuni yaani mmechoma makusudi ili mpate uhalali wa kuchoma za ccm
  7. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Nanyie wachoma makaratasi ofisini?
  8. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Baada ya kuona yamekuchoma
  9. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Kwambinu ya kuchoma ofisi mtamtaoa nani siasa za huruma hizo
  10. R

    Ofisi ya CHADEMA Mbeya yachomwa moto usiku wa kuamkia leo

    Chadema wanatafuta kiki za kijinga
Back
Top Bottom