Kwa anaeijua vizuri Ubungo kama Jimbo atakua shaihidi kuwa CHADEMA hawastahili tena kwanzia ngazi ya UDIWANI hadi UBUNGE. Ubungo inamindombinu mibovu ya barabara ambayo lilikua Jukumu la Mbunge na Balaza la Madiwani. Chadema mlipewa Ubunge mmepewa na halmashauri lakini vitu vya kawaida tu...
LISSU ATANGAZA VITA DHIDI YA WAMACHINGA TANZANIA. ASEMA, WAMEKUA KERO KWA WAFANYA BIASHARA WA KIGENI.
(kutoka Tunduma Mbeya)
Anayetarajiwa kuwa Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia tiketi ya CHADEMA ndugu Tundu A Lissu ameweka wazi msimamo wake juu ya Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.