inawezekana mkuu.. mwezi wa 6 mwaka huu amazon wameongeza nchi ambazo unaweza kujisajili kama amazon seller na tanzania ikiwemo
https://sellercentral.amazon.com/gp/help/external/200405020
Shamba lipo Fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.
Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.
Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu...
Shamba lipo Fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana.
Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15.
Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote.
Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.