Recent content by RealEstate Agent

  1. RealEstate Agent

    Amazon FBA

    inawezekana mkuu.. mwezi wa 6 mwaka huu amazon wameongeza nchi ambazo unaweza kujisajili kama amazon seller na tanzania ikiwemo https://sellercentral.amazon.com/gp/help/external/200405020
  2. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Ndugu haya maswali ya kuwasiliana private
  3. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Shamba n mali halali kabisaa
  4. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    document zote halali za kuuziwa zipo..nlinunua serikali ya kijiji
  5. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Shamba lipo Fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote. Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu...
  6. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    KM 36 kutokea bagamoyo mjini kama unanda Msata
  7. RealEstate Agent

    INAUZWA Special Thread: Tunauza Viwanja, Mashamba na Nyumba

    Shamba lipo Fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo fukayosi bagamoyo - km 10 kutoka bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za serikali ya kijiji zipo na halina migogoro yoyote. Bei ni milioni 18 tu, nauza lote sikati nusu nusu...
Back
Top Bottom