Hi .plz naomba kujua mchanganuo was cozi ya udaktari na majukumu ya kila daktari kwa kila kitengo coz nataka kuwa daktari baadae sjajua nitakuwa daktari was Nini napenda kujua mapema nianze kukuza uwezo na kutafuta rol modos. Usintajie macho pua Wala makio spendi huwa navutiwa na vidonda na...
Habari.naomba msaada hivi coz ya udaktari imegawanyika vipi unaso ewaje ya yapi majukumu ya daktari kulingana na kitengo chake nataka kuwa daktari hatimaye ila sijajua nitakuwa daktari was Nini nitajie nichague niikuze hiyo hali mapema
Shkamoo doctor. Ninaishi na asthma tangu kuzaliwa huwa natumia triam injection nakaa miezi nane bill kuugua lakini nableed Sana mwezi was Kwanza baada ya kutumia Hadi siku 16 nifanyeje. Bill kuichoma swez kuishi pia alienianzishia tiba alinipa madawa mengi mno hivyo vidonge hunikataa milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.