Recent content by Real student

  1. Real student

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Doctor umeenda wapi mbona hujibu au ubize ume zidi
  2. Real student

    Msaada: Joining instruction chuo cha afya.

    Hi .plz naomba kujua mchanganuo was cozi ya udaktari na majukumu ya kila daktari kwa kila kitengo coz nataka kuwa daktari baadae sjajua nitakuwa daktari was Nini napenda kujua mapema nianze kukuza uwezo na kutafuta rol modos. Usintajie macho pua Wala makio spendi huwa navutiwa na vidonda na...
  3. Real student

    Chuo cha diploma ya masuala ya afya

    Habari.naomba msaada hivi coz ya udaktari imegawanyika vipi unaso ewaje ya yapi majukumu ya daktari kulingana na kitengo chake nataka kuwa daktari hatimaye ila sijajua nitakuwa daktari was Nini nitajie nichague niikuze hiyo hali mapema
  4. Real student

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Shkamoo doctor. Ninaishi na asthma tangu kuzaliwa huwa natumia triam injection nakaa miezi nane bill kuugua lakini nableed Sana mwezi was Kwanza baada ya kutumia Hadi siku 16 nifanyeje. Bill kuichoma swez kuishi pia alienianzishia tiba alinipa madawa mengi mno hivyo vidonge hunikataa milele
  5. Real student

    Mijadala ya JF doctor ni mizuri

    Habari wapendwa humu mijadala mizuri nimefurahia kujumuika nanyi
Back
Top Bottom