Acha ungedele wewe suala la katiba ya nchi na bao tatu mara 0 vina correlation gani usitiletee ushabiki wako wa mpira kwenye suala la katiba ya nchi,unaliwa nye nini wewe bogus wewe.
Acha uongo kijana eti huna itikadi ya chama chochote usilete mada na uongo wako hapa,huna itikadi ya chama chochote wakati wewe ni kijani pure.Acha kujamba moshi kwa kutumia kinywa chako kijan.
Kweli viongozi wa taifa hili la Tanzania wanajua kucheza na akili za watanzania,yaani hainiingii eti leo hii kikwete anauambia umma wa Tanzania eti serikali ina mpango wa kufuta karo ya sekondari,ndugu zangu wadau wa blog hii hivi huyu rais alikuwa wapi tangia 2005 kufuta karo eti leo hii...
Amaa kwa hili la katiba mpya hakika ccm wanapigana kupitisha mambo yao yenye shabaha ya kuendelea kulinda maslahi yao binafsi na chama chao,hainiingii akilini hata kidogo yaani mchakato wa katiba mpya waliuanza pamoja halafu leo hii bila aibu wanaamua kurudi bungeni peke yao bila...
Hakika nakueleza hakuna mwana UKAWA yeyote anayetamani kurudi kwenye bunge la katiba ni huyo leticia tu na yeye ndiye anayejua kilichomkuna mpaka akaamua kurudi bungeni tatizo ni ukakasi ulio ndani ya akili ya mtu binafsi,ccm wanacheza kwata nasema hivi hiyo katiba ni ya ccm wala si ya nchi...
Walichokifanya ccm kule Kalenga ndicho walichokiendeleza pale Chalinze.Ni ukweli usio na kificho kwamba ccm siku zote wakati wa chaguzi mbalimbali hutumia nguvu ya fedha ambayo wanayo kupitia pesa za sisi wenyewe watanzania tunaolipa kodi serikalini kuwaghilibu watanzania wa kipato cha chini kwa...
Ndugu zanguni na watanzania wenzangu wa Chalinze nachelea kuwaulizeni hivi ni kweli mnakitambua mnachokifanya hapo jimboni kwenu?haiwezekani mkaendelea kuwarithisha watoto wa watawala nafasi za uongozi, hivi ni kweli kwamba katika jimbo zima la Chalinze hakuna mtu yeyote ambaye mmeona ana sifa...
Mtawala wa taifa hili na wateule wake wanavyojua kuyatumia majukwaa yaliyoko katika kona mbalimbali hapa nchini wakihubiri na kueneza propaganda kuhusu ajira kwa vijana hapa nchini huko wengine wakithubutu kuwaeleza vijana eti waache kufikiria kuajiriwa na serikali badala yake wajiajiri wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.