Recent content by RCA

  1. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    ni vema kwanza utujuze alitabiri nini halafu ndo tukubali kama kweli Nabii kashindwa ama laa. inawezekana kabisa kwamba hujui alichotabiri.
  2. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza, tafuta kufahamu Prophet TB Joshua halafu unajua ana mradi gani.
  3. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Hata wewe siyo lazima uncomment, lakini pia Prophet TB Joshua hazuiliwi kuja mwenyewe kama anazo sababu za kuja.
  4. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Not just influential he is really true Prophet of God, and not like Gwajima, get the facts about him from trusted source.
  5. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Naamini yeye mwenyewe kaomba kuja lakini sio kuhudhuria sherehe ya kuapishwa Mh Magufuli bali kuweka mambo sawa hasa kutokana na sintofahamu iliyopo juu ya ushindi wa Mh Magufuli. kwajinsi ninavyo mfahamu, huwa hapendi majukwaa ya kisiasa na sijawahi kumuona akihudhuria sherehe za kisiasa mahali...
  6. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Huyu ni Prophet, sio tapeli hajawahi kutapeli mtu yeyote, labda kama una ushahidi leta tukuamini.
  7. R

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Zingatia kuwa Prophet TB Joshua hajaalikwa na Serikali.
  8. R

    Uchambuzi wa Sheria ya Uchaguzi na kulinda kura. S.104 0F T.E.A

    leta maana ya meeting, sababu hata hao waliokusanyika ili kupigia kura wanakuwa wamefanya meeting.
  9. R

    Busara zimeanza kumrudia Harrison mwakyembe

    Sio mwakyembe aliye fanya tujue Richmond, suala hili lilianzia bungeni, ikaundwa kamati ya bunge na mwakyembe akawa mwenyekiti. Kuwa mwenyekiti hakumfanyi mwakyembe kuwa muibuaji wa kashfa.
  10. R

    UKAWA, radio calls ni LAZIMA

    Na je huhitaji kura za nyumbu?
  11. R

    CCM oneni aibu tazama hii nchi ilikotoka na mahali ilipo

    Upo sahihi ila mtoa hoja anataka pia uzingatie kasi ya utekelezaji wa vipaumbele vya nchi, kwasababu kama kasi ni ndogo lazima tutaendelea kuwa nyuma na hapo mtoa hoja atakuwa sahihi . zaidi ya yote, hebu saidia kutaja vipaumbele vyetu vilikua nini mfano ktk sekta ya nishati, sekta ya...
  12. R

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    Nabii TB Joshua akisema neno litakuwa linakuwa kama alivyosema na hii ni kwasababu yeye ni Nabii wa Mungu aliye juu. Lakini sijaona katika prophecy za Nabii huyu juu ya kumtabiria Lowasa kwamba atashinda, sijaona.
  13. R

    Barua ya wazi kwa Mzee Mwanakijiji sehemu ya pili, mabadiliko

    Tatizo lako mwanakijiji ni moja kwa mtazamo wangu, umesahau agenda ya nchi ambayo ni change. sasa hapo haijalishi kwamba kuna Lowasa au bila Lowasa, change needs to go on and on to the right direction.
  14. R

    Mnyika kwenye hatihati kupoteza jimbo

    Kama ulivyo sema, ni hatihati tu.
Back
Top Bottom