Ni kweli upo sahihi mwenyewe aamue ila sita mlaumu kama hata kuja kwa kuwa ata akiwepo ata onekana mbovu ana kutana na watu ambao awaja pata elimu ya mpira lazima ata onekana mbovu mfano van persie awe stars
tatizo hapa ni misingi hawana wachezaji ambayo ni kama kuusomea mpira darasani kisha kwenda kuufanyia vitendo uwanjani chukulia mfano mtu yupo timu ya taifa hajui kuna aina ngapi za pasi,uwanja umegawanyika zone ngapi,muda wa kupumzika sasa tunategemea mtu kama huyu aje kupambana na mtu aliye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.