Habari, mimi ni mjasiriamali nipo Bukoba najishughulisha na kilimo cha uyoga ila nina changamoto moja inayonisumbua, kuna fangasi wanashambulia mifuko ya uyoga ikiwa katika chumba cha giza. Naomba msaada kwa yeyote anayejua zaidi kuhusu ili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.