Recent content by Rayne

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kilimo, soko na faida za Uyoga

    Habari, mimi ni mjasiriamali nipo Bukoba najishughulisha na kilimo cha uyoga ila nina changamoto moja inayonisumbua, kuna fangasi wanashambulia mifuko ya uyoga ikiwa katika chumba cha giza. Naomba msaada kwa yeyote anayejua zaidi kuhusu ili.
Back
Top Bottom