Kaka yangu alikuwa amenishika nikiwa mdogo sana miaka ya 80s Usingizi ukamshika akaniangusha ilikuwa ni karibu na moto usiku ndo maji yalikuwa jikoni ya ugali dada alikuwa anakamua niliungua kichwani mpaka leo nywele zimeota nusu wananiita kipara wengine wananitania wananiita kiporo ila maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.