msela atakuwa kanogewa na penzi la jimama na zaidi atakuwa anapewa za matumiz so n ngumu kumshawishi aache labda km wasemavyo wadau act umbeya yan ukawaambie wazazi wa jamaa yako labda wakimsema atasikia la sivyo mwambie jamaa ajiandae kuliwa mana "MLA VYA WATU NAYE HULIWA"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.