Recent content by Ray 4 real

  1. Ray 4 real

    Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

    Ukitaka mtoto ale inabidi sometimes ujichetue akili uwe ka mtoto, umwimbieimbie akiwa anakushangaa unamwekea kijiko hivohivo utashangaa anamaliza pia jaribu kumbadilishia mlo kila siku usimpe uji kila siku asubuhi unaweza mpa mtori wa ndizi na viazi mixer nyama kama finyango kadhaa na supu yake...
  2. Ray 4 real

    Inauma sana na haivumiliki

    Kwanini uishi au uwe na mahusiano na mtoto wa mtu for so long huku ukimwambia utamuoa at the end ukaenda oa mwingine? Hiyo tuiitaje sasa ?
  3. Ray 4 real

    Inauma sana na haivumiliki

    Mbona hao tuliowapata kwa Yesu ndo wanatuumiza usiku na mchana
  4. Ray 4 real

    Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

    Huo ni ujinga wanawake tunajidanganya wenyewe yaan ushahidi upo mezani afu et mtu anakataa nawe unamuamini mm nilimbana mbona mpaka akasema ukweli and issue solved
  5. Ray 4 real

    Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

    Kwahiyo unajimwambafai kwamba mkeo alikuamini? Kama mna watoto she's there bcoz of them
  6. Ray 4 real

    Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

    We unachekesha kweli kwahiyo hata kama kuna hela au karatas ambayo ni ya muhimu je?
  7. Ray 4 real

    Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

    Sasa unafikir ukikataa ndo nitaamini mdajidanganya
  8. Ray 4 real

    Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

    And what if mkeo hafanyi hayo uliyotaja na bado unachepuka?
  9. Ray 4 real

    Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

    Iliisha tu yenyewe nadhan ilikuw pressure ya tendo maana tulikuwa hatujaonana for almost 3 months
  10. Ray 4 real

    Nadhani nimepata Changamoto labda kisaikolojia au kiafya. Napofanya tendo

    Hii iliwahi mtokea mume wangu mpaka nilianzisha timbwili nikimtuhumu kuwa na mwanamke mwingine
  11. Ray 4 real

    Ugomvi kidogo anataka tuachane

    Inategemea huo ugomvi wenu unahusisha nn kama ni cheating sio kosa lake
  12. Ray 4 real

    Sijawahi kushusha uzi mapema kiasi hiki, wakuu nahisi yamenikuta makubwa

    Mungu anakupenda maana anaona unakoelekea unaenda kupotea na Yeye hataki kukupoteza, tubu mrudie Mungu acha uzinzi
Back
Top Bottom