Mimi hapa nilipo roho ipo juu,
maana mwaka jana niliomba,
result zangu ni kama hivi
physcs-C,
chemistry-C,
biology-B,
english-C,
mathmatics-D,...sikufanikiwa kupata,hapa nilipo uwezo wangu duni maana kuna wadogo zangu wanahitaji kusoma pia,..yaani naomba mungu anione huu mwaka lakini...