Recent content by RASHID ATHUMANI RASHID

  1. RASHID ATHUMANI RASHID

    SoC03 "Wazee wa cha juu" : Jinsi udalali unavyoua soko la ndani

    Kweli kabisa kamanda udalali lazima hata iweje bile....hata hivyo.mimi kwenye makala hii niliangazia zaidi swala la jitihada za urasimishaji katika sekta hii..Kwamba kama jamii .kuwe kuna miongozo maalum inayo simamia harakati za udalali ili...suala la ununuzi na uuzaji visiwe kero wala chaka la...
  2. RASHID ATHUMANI RASHID

    SoC03 "Wazee wa cha juu" : Jinsi udalali unavyoua soko la ndani

    Udalali utaendelea kuwepo, maana changamoto ya vatu wengi zaidi ni mitaji. Lakin zikuwekwa taratibu nzuri jambo hili litampunguzia sana mwananchi usumbufu
  3. RASHID ATHUMANI RASHID

    SoC03 "Wazee wa cha juu" : Jinsi udalali unavyoua soko la ndani

    Maisha ya kawaida ya mtanzania ni pamoja na uwakala wa bidhaa na huduma au maarufu kama ujulikanavyo "udalali". Tangu kupanda kwa jua mpaka machweo yake, watu wanatafuta masoko ya bidhaa zao ama fursa mpya --waitavyo wenyewe "chimbo" . Lakini mimi binafsi bwana kuna jambo moja linalonikera...
Back
Top Bottom