wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo help plzz:crying::crying::crying:
i just signed up for payza halafu siioni payza naona paypal tu katika jinsi ya kulipia!!kwani ukiwa na account yenye mastercard cba(central bank of africa )pia itakuwa na matatizo ya withdrawal ukitumia paypal au??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.