Recent content by Rashda Zunde

  1. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaendelea kusimama huku zaidi ya 74% ya Bajeti ikitegemea mapato ya ndani

    Serikali ya Tanzania imeendelea kuonesha dhamira yake ya kujitegemea kifedha katika uendeshaji wa shughuli za maendeleo na huduma za umma, huku ikieleza kuwa takribani robo tatu ya bajeti yote ya mwaka wa fedha 2026/27 itagharamiwa na mapato ya ndani. Kwa mujibu wa Serikali, asilimia 74.2 ya...
  2. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Marekani inataka maridhiano baina ya Serikali na vyama vya upinzani

    Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu ya mapitio ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Tanzania. Sharti hilo limejumuishwa katika fasili B(4) ya kifungu cha saba cha Muswada...
  3. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kutoka kushindwa Uchaguzi, hadi Siasa za Huruma: Hoja kuhusu Mkakati wa CHADEMA

    Samahani situmiki kisiasa lakini nasema ukweli wa mambo yalivyo.
  4. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kutoka kushindwa Uchaguzi, hadi Siasa za Huruma: Hoja kuhusu Mkakati wa CHADEMA

    Je, unafanya nini ikiwa unaongoza chama cha upinzani ambacho, kwa ukweli kabisa, hakina uwezo wa kushinda uchaguzi kwa sababu hakijawahi kuwasilisha mawazo au sera za maana kwa wapiga kura tangu kilipoingizwa kisiasa kwa ushawishi wa serikali ya kigeni, na sasa kinaelekea kupata tena kushindwa...
  5. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu awasili Urusi

    Endelea kuota
  6. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu awasili Urusi

    ■Atahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg ■Anatarajiwa kushiriki kongamano la uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi ■Atatunukiwa shahada ya heshima, kunadi fursa za dira 2050
  7. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia aendelea kuthibitisha kwamba anawajali wakulima, atoa onyo kwa wawekezaji wa zao la chai Rungwe

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiwa wilayani Rungwe mkoani Mbeya, amesisitiza dhamira ya serikali yake kulinda maslahi ya wakulima kwa kuhakikisha rasilimali muhimu kama ardhi na mazao ya kimkakati yanabaki kwa manufaa ya wananchi. Akizungumzia uwekezaji katika...
  8. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Ukirejea katika maandiko matakatifu, kitabu cha Mathayo 11: mstari wa 12 umeleza kuwa "Tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka" Kwa maana hiyo , Wananchi wa Vwawa mkoani Songwe wamedhiirisha hilo kwa vitendo kwa kuonesha nguvu...
  9. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Wananchi wa Vwawa wanasema Oktoba wanatiki kwa Samia Suluhu.
  10. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan arejesha fomu

    Tumekamilisha taratibu za uteuzi, sasa tupo tayari kwa kampeni.Safari inaanzia Kawe, Dar es Saalam kesho. Usisubiri kuhadithiwa. #OktobaTunatikiSamia
  11. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Suluhu Hassan: Kiongozi sahihi kuendeleza safari ya maendeleo

    Maadui mtamuona kwa big screen
  12. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Suluhu Hassan: Kiongozi sahihi kuendeleza safari ya maendeleo

    𝑵𝒂𝒂𝒏𝒅𝒊𝒌𝒂 𝑹𝒂𝒔𝒉𝒅𝒂 Kesho, Rais Samia Suluhu Hassan atachukua fomu ya kugombea urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu — tukio muhimu linaloashiria mwendelezo wa uongozi wenye dira na matokeo. Kwa kipindi cha uongozi wake, Rais Samia ameonesha uthubutu, uadilifu na ufanisi katika kusukuma mbele...
  13. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 ACT-Wazalendo Hakithamini Wanawake, Hakina Imani Nao Katika Uongozi

    Kwanini Mpina asingewekwa mgombea mwenza?
Back
Top Bottom