Nakuuliza kama nilivyomuuliza Mkuu mwingine, kuna watu wana ruhusa ya kupiga kelele usiku kucha kwenye makazi ya watu? Pub inakesha usiku kucha kwamba nihame, kwanini? Dar karibu yote wazaramo na wanaofanana hawakosi kwahivyo wengine ambao hatuna tamaduni za kukesha tuondoke, kuwa serious Mkuu
Kuona mtoto wa miaka 15 anaozwa kawaida sana. Kuna kipindi macho yalinitoka.... nilienda kwenye duka la dawa kuchukua dawa, wakati nasubiri kuhudumiwa wakaletwa maharusi kupimwa ukimwi, macho walikuwa watoto ila waliposema umri wao ndio nikachoka kabisa, bwana harusi alikuwa na miaka 16 na bibi...
Wakuu
Huku Mbweni Mpiji maeneo ya Ungindoni wakiwa na sherehe zao za vigodoro ni kero kubwa, wanakesha usiku kucha na mziki ni mkubwa kiasi kwamba ni changamoto hata kupata usingizi. Mbali na hili ni hatari kwa watoto pia, ukienda kuchungulia mida ya saa tano sita usiku hukosi watoto, kwa watu...
Hali ilivyokuwa baada ya daraja kubomoka
Sisi wakazi wa Mtaa wa Msumi, Kata ya Mbezi, Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo tuna changamoto kubwa ya kutojengewa Daraja ambalo lilibomoka kutokana na mvua zilizonyesha Oktoba 2023 hadi Januari 2024.
Baada ya Daraja hilo kubomoka tulilalamika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.