Recent content by Raphenry

  1. R

    Mfumo mpya wa ujenzi...Phamacy / Clinic

    Kama umeskiliza video vizuri ni kwamba vigezo vyote tunavipata kutoka kwako wewe mteja wetu. unasema unachokihitaji sisi ni wajenzi tu. tunachukua idea yko na kuifanyia kazi. na upande wa kuhamishika ndio mobile clinic hio. unaweza ukaipeleka popote pale. Nashukuru. kwa mawasiliano zaidi chukua...
  2. R

    Mfumo mpya wa ujenzi...Phamacy / Clinic

    Kwa wale wauguzi au wenye taasisi mbalimbali zinazo saidia watu mbali mbali katika sehemu za mbali. Wanauwezo wa kutumia Clinic hii katika shughuli zao kwa maana ina hamishika na pia ina kidhi mahitaji yote. Tazama video fupi na upate idea ya ninachokiongelea. Una uwezo wa kuipata ndani ya...
  3. R

    PREFAB CABINS

    bei yake inategemea na ukubwa pamoja na vitu unavyohitaji humo ndani. kwa maana hio inaweza kuwa na choo, jiko, bafu pamoja na sehemu ya chumba cha kulala na sebule. Kuhusu swala la usalama, iko salama kwavile ni chuma zilizochomelewa pamoja na kuunganishwa na insulator ambyo pia ni chuma...
  4. R

    PREFAB CABINS

    Jipatie ofisi inayohamishika mahali popote iliyotengenezwa kwa teknolojia ya kisasa kabisa wataalam wanaita sandwich panels. sandwich panel ni ukuta ambao haukisi joto wala baridi, kwa maana ingine inatumika kama insulator yani haiingizi joto wala baridi unapokuwa ndani ya ofisi yako. Hii ni...
  5. R

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tabia yenu ya kukata sh.150 kwa ajili ya magazeti ambayo yanaleta habari za juzi hatutaki. Msituunganishe na huduma za kijinga. Habari mnazotuma mistari miwili afu mnakata 150. Nitakuja kuwashitaki mahakama ya kimataifa kama tanzania wanashindwa kuwadhibiti na wizi wenu
  6. R

    Maji tz

    Tatizo la maji ni janga la kitaifa. Wananchi wasimame kutetea haki zao. Hawa viongoz watakuja kuomba kura yako na kusema wamekuletea maji mwisho wa mwaka huu. Fanya uamuzi wa busara. Tumechoka kudanganywa
  7. R

    Aluminium & glass

    Piga hio namba upate hudumaa
  8. R

    Aluminium & glass

    Piga hio namba ya 06.. utapata majibu yako yote ndugu yangu.
  9. R

    HTC G1 Pocket PC

    0672095574 tuma msg au piga hio namba uwasiliane vizuri.
  10. R

    HTC G1 Pocket PC

    Mawasiliano 0672095574
  11. R

    Aluminium & glass

    Umenisoma hio ni kazi zetu sio za google. Ukitaka kujua zaid piga hio namba tunakuwekea sample moja bure kabisa una thaminisha.
  12. R

    Aluminium & glass

    Sio picha za google jombaa hio ni catalogue yetu nimeipiga picha nakuiweka hapo.
  13. R

    Aluminium & glass

    BEST QUALITY IN TANZANIA GRADE A. SIRINA INDUSTRIES...ni kampumi inayo deal na kuweka madirisha na milango ya aluminium, pamoja na kudesign majiko majumbani. Wanapatikana; 14 Ally Skykes Road Mbezi Beach Contact:0656383838 or 0766521993
  14. R

    Aluminium & glass

    SIRINA INDUSTRIES...ni kampumi inayo deal na kuweka madirisha na milango ya aluminium, pamoja na kudesign majiko majumbani. Wanapatikana; 14 Ally Skykes Road Mbezi Beach Contact:0656383838 or 0766521993
  15. R

    HTC G1 Pocket PC

    Inauzwa ukitaka kufaham bei yake nifate DM. Inatumika kama simu na vile vile kama computer ya kiganjani.
Back
Top Bottom