Recent content by rangyatarimu

  1. R

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe adai barua yake kwa Benki ya Dunia inapotoshwa. Asema hajazuia mkopo kwa Tanzania bali amewatetea watoto wanaopata ujauzito wakiwa shuleni

    Mhuni huyu Zitto. Hii ni sawa na Mtu aliyejinyea mbele ya watu na kudai alikuwa anajaribu kujamba. Mahojiano yote BBC na kwenye barua yanaonyesha nia ya dhati ya Zitto kuitaka Benki ya Dunia KUZUIA FEDHA HIZO ZISIINGIE NCHINI. sasa anaona kila mtu anamlaumu anasingizia upuuzi!
  2. R

    JamiiForums Tanzania Experienced Graphics Designer looking for job

    A multy talented Graphics Designer, Copywriter and Traffic Manager with experience over 15 years is looking for job opportunity, be it Full Time, Consultancy or Freelance. He is a hard working man and very flexible. Contacts: 0714022164
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Mwananchi wa Tandahimba akiboreshewa miundombinu unataka apewe na nini tena?? Maandazi?
  4. R

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Yatamsaidia kupanua wigo wa biashara zake nchini na nje ya nchi kwa urahisi zaidi. #Miundombinu Imara!!!
Back
Top Bottom