Recent content by Ramsy Dalai Lama

  1. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Kuna ANASA kubwa sana unaishi nayo sasa hivi bila wewe kujua. Ukweli huu utabadili mtazamo wako wa maisha!

    Habari zenu wana JamiiForums. Maisha yanaweza kuwa magumu kwa sasa, na huenda malengo yako makubwa ya kifedha bado hayajatimia. Lakini kumbuka, asilimia kubwa ya mambo unayoyaona ya kawaida kwako leo, kuna mtu yuko mahali anamlilia Mungu ayapate hata kwa sekunde moja. Unajua katika ulimwengu...
  2. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Tunakumbushana: Ukitaka Kuyaelewa Maisha yako na umuhimu wake, Tembelea Maeneo Haya Matatu. Please tusijisahau

    upo sahihi mkuu, kama wa design hiyo tunabaki kumuombea tu kwa kweli, lakini kwa yule ambae akikumbuka ama kukumbushwa anarudi kundini basi uzi kama huu utamfaa
  3. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Tunakumbushana: Ukitaka Kuyaelewa Maisha yako na umuhimu wake, Tembelea Maeneo Haya Matatu. Please tusijisahau

    ni kweli mkuu lakini nilikua nafanya kukumbushana vipaumbele vya Kweli katika Maisha yetu (Prioritization) kama vile: Kukumbushana Afya kwanza: Binadamu sisi huwa mara nyingi husahau hili hadi pale anapougua. Sasa tunakumbushana lakini sio kwamba hatujui bali tunajisahau kibinadamu...
  4. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Tunakumbushana: Ukitaka Kuyaelewa Maisha yako na umuhimu wake, Tembelea Maeneo Haya Matatu. Please tusijisahau

    Ndo maana nikasema tunakumbushana!, kwa maana najua kila mtu anajua hili lakini kuna ile kujisahau kibinadamu na ndo lengo kuu la uzi lakini sajasema naleta mapya.
  5. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Tunakumbushana: Ukitaka Kuyaelewa Maisha yako na umuhimu wake, Tembelea Maeneo Haya Matatu. Please tusijisahau

    Kwa heshima na taadhima, habari zenu wanajukwaa. Please, ukipata muda tembelea hayo maeneo matatu nitakayo orodhesha hapa au pia naweza kukukumbusha humu humu kama utakua huna muda ili kujikumbusha yalio muhimu sana katika maisha yako. 1. Hospitali. Hapa utaona jinsi mwanadamu alivyo dhaifu...
  6. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    wow! also look gorgeous 👍
  7. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    you look gorgeous 👍
  8. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    wadau kumbe huku kuna kutupia picha halafu hamsemi...mbona mnakua wasiri sana ;)
  9. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania What makes you feel pleasure?: Ni kitu gani kidogo au kikubwa, cha muda mrefu au mfupi, cha kawaida au ajabu kinachokufanya ujisikie RAHA au MSISIMKO?

    ile hali unakua tuseme una uwezo wakununua kitu lakini hununui kwasabab unajua mda wowote ukitaka utanunua bcoz uwezo huo unao, kwangu husikia raha sana kuliko kununua kitu chenyewe. Pia ule utamu wa kuamka kila asubuhi ukijua salio lako la bank limeshiba vyema na kuna akiba yakukutosheleza...
  10. Ramsy Dalai Lama

    JamiiForums Tanzania What makes you feel pleasure?: Ni kitu gani kidogo au kikubwa, cha muda mrefu au mfupi, cha kawaida au ajabu kinachokufanya ujisikie RAHA au MSISIMKO?

    kuna hii, ukiwa na rafiki zako au ndugu na kuongea maongezi yanayofanya kucheka sana hadi machozi yanatoka na kushindwa kujizuia ni moja kati ya vitu ninavyovipenda sana. yani mnakua na ule mcheko mrefu wa hadi sauti inakata kiasi kuishiwa mpaka pumzi. unakuta kila mkitazamana mnaaza tena...
Back
Top Bottom