Acha upumbavu wewe ungekuwa unaishi buswelu usingeongea upuuzi huu,watu wana machungu sana,umeme unarudi saa 7 usiku na kukatika saa 11 alfajiri kila siku,ofisi za mkuu wa wilaya na hapa manispaa hakuna umeme mpaka sasa ninapoongea,hali hii tumeizoea kila siku
We ngoja kulipuka tu,sijui itakusaidia nini wakati leo inaenda wiki ya pili sasa buswelu yote hamna umeme,hiyo ni manispaa,je huko vijijini hali ikoje? endelea kulipuka na anjelina wako
Katika hali ya kushangaza leo siku ya Jumapili, askari polisi jijini Mwanza wametanda kila mahali na hasa njia kuu ya kuelekea bugando, nimeshuhudia doria isiyokuwa ya kawaida ya magari na askari waliovaa sare na kiraia, wengine wamepaki njia kuu kuelekea Bugando jambo ambalo si kawaida kwa siku...
Hapa kuna jambo,huyu dada alieanzisha hii mada si wa kumwamini alishajivunjia heshima yake,hastahili hata kuwa kiongozi,na hii mada ameianzisha kwa malengo anayoyajua
Walimu wa mwanza,kweli mmetuaibisha,kitendo cha kusomba wanafunzi na kuwapeleka kwenye mkutano wa magufuli ili kutii amri ya mkuu wa mkoa kimenifanya niwadharau sana
Mod naomba msifute huu uzi ili tuone ukweli wa mambo nchi nzima kesho kwani tumeona hapo nyuma umeme ukikatwa kunapokuwa na tukio "live" kutoka upinzani,tunataka tuone kesho itakuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.