Asante Nashukulu kwa msaada wako ila m n mgeni na cjajua utalatibu wa mtu ukiomba nafasi inakuwaje kuhusu majibu ya maombi n chuo unaenda kuhuliza au kwenye tovuti
Kaka mm nina D 5 Nimeomba kujiunga na Diploma katka chuo cha IFM na Mpka sasa naona kimya hvi kweli kwa jinsi ya matokeo yangu naweza kuchaguliwa. Na je vp kuhusu jina langu nitaliakikisha vp kama nimechaguliwa na majina yashatka MSAADA PLEASE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.