Ni kweli Dhamira ya mahakama ya KADHI ni UTENGANO?au kuthaminika na kutambulika kwa jamii fulani na taratibu zao? kama wewe unajithamini ziheshimu imani za wengine kama huyajui si ujinga kuuliza usimpake mwenzio matope wakati wewe umetapakaa kinyesi
Nilivyo kuelewa kama vile una tetea mawazo ya waliopo madarakani kwa upande mmoja maana ikiwa msingi wa katiba kulinda haki na uhuru vipi mambo haya yajadiliwe kwa upande walio teuliwa na utawala tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.