Recent content by Ramadhan Yazid

  1. R

    Tupeane ushauri kidogo Wakuu.

    Nina mdogo wangu anataka kuanza Chuo mwaka wa kwanza(Certificate). Nauliza hivi itakuwa ni vyema kama atasoma . INSURANCE AND SOCIAL PROTECTION?
  2. R

    Nina mtaji wa milioni 1, nataka kufanya biashara ya nguo

    Asante sana, Mkuu. Nitafikiria hilo kwa kina zaidi kama ulivyo changanua.
  3. R

    Nina mtaji wa milioni 1, nataka kufanya biashara ya nguo

    Nina mtaji wa milioni 1, nataka kufanya biashara ya nguo kwa hapa Dar es Salaam. Je, nifanye nini kwanza cha msingi? Mchango wa mdau
Back
Top Bottom