Recent content by Rama mbwambo

  1. R

    Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele

    Hongera sana mh Rais na mama yetu hakika tunaona natunashughudia ukifanya makubwa nia yako nikuiona nchi yetu inapata maandeleo ya hali yajuu
  2. R

    Mishahara mipya kwa walimu na kada ya afya

    Hawa wa 750000 walianza lini?
  3. R

    Hili lisemwe na kuoongezwa!

    Kwekweli mama yupo vizuri sana Mungu ambariki
  4. R

    Ongezeko la Mshahara la 23.3% Serikali itoe ufafanuzi

    Unaweza kutuwekea hayo mahojiano hap
  5. R

    Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

    Kwanini hawezi kua ? Mbona 1984 baba yake alikua Raisi Wazanziba 1985 akaja kugombea huku bara na akawa Raisi Wajamhuri yamuungano Watanzania
  6. R

    Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani

    Wahuni hawa ,mama piga kazi tunakupenda kwa kazi nzuri unazozifanya
  7. R

    Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

    Sema mama Watanzania tunakupenda tupo nyuma yako 2025 niwewe tu hatuna mwingine
  8. R

    2025 yupo mpinzani wa kushindanishwa na Rais Samia Suluhu

    Ndugu madarasa yaliopo kwa upande wasekondari yanatosheleza kabsa tuwe wakweli Mungu anatushuhudia ,shule za msingi ndio bado kuna uhaba Wa madarasa ila mama yupo mbioni kupeleka hela Shule za msingi pale serekali inapofanya vizuri tuisemee ,pale pakukosoa tukosoe ,barikiwa sana
  9. R

    2025 yupo mpinzani wa kushindanishwa na Rais Samia Suluhu

    Wewe huko kenya huoni hadi wanapanga foleni ,mafuta kufikia hiyo bei ni hali ya ulimwengu,
  10. R

    2025 yupo mpinzani wa kushindanishwa na Rais Samia Suluhu

    Ahsant ,hapo kwa mungu siwezi bisha
  11. R

    2025 yupo mpinzani wa kushindanishwa na Rais Samia Suluhu

    Kama kuna kupokea 7500 mimi sipo naongea kile tunachokishuhudia katika utawala Wa mama
  12. R

    2025 yupo mpinzani wa kushindanishwa na Rais Samia Suluhu

    Kwani wewe huoni mama anavyoupiga mwingi, pita Shule za sekondari utaona hayo madarasa ,mama yupo vizuri sana
Back
Top Bottom