Recent content by raji makuya

  1. raji makuya

    Msaada kuhusu HESLB

    duh... sa mbona baraa but niliwaandikia barua ya kuahirisha mwaka na wausitishe mkopo.. but ngoja nisubir itakavyokua.
  2. raji makuya

    Msaada kuhusu HESLB

    mimi sikulipot chuon mwaka jana nikawaandikia barua heslb na sasa nikaomba upya nikapata chuo. so nawasikilizia kama watanipa tena au laa. au ndo mpaka nikaripot tena heslb?
  3. raji makuya

    Msaada kuhusu HESLB

    sikulipot kabisa chuo.. bt niliandika barua heslb ya kuahirisha mwaka.
  4. raji makuya

    Msaada kuhusu HESLB

    eti kama uliahirisha mwaka kupata mkopo mwaka ujao inakua ni shida?
  5. raji makuya

    Ajira na field za Horticulture, St. Joseph

    kumbe humu wengine wanautindio wa ubongo, lol!! get well soon
  6. raji makuya

    MUHAS First year wanaripoti lini?

    majina yao wametoa lini. hata ya diploma siyaon.
  7. raji makuya

    Chuo Kikuu Dodoma, waliodahiliwa shahada ya kwanza 2014/15

    jaman kuna jamaa zangu alifanya sec round udom bach of science with physics ila selection zilivyotoka hawamo na kwenye hyo program kuna watu 37 tu!! sasa kuna sehem kuna majina mengine au watatoa tena majina?
  8. raji makuya

    Chuo Kikuu Dodoma, waliodahiliwa shahada ya kwanza 2014/15

    ha ha ha ha haaaaa..... dah mnanipa burudan wakuu.
  9. raji makuya

    Sokoine University of Agriculture, selected applicants for undergraduate 2014/15

    eti nasikia kuhama program hapo sua ni mtiti mpaka uwe na marefarii na maranzmen kibao!!! eti ni kwel wadau au ndo fununu. maana nimechaguliwa hortculture hapo afu siielewi elew.
  10. raji makuya

    Selection UDSM 2014/2015

    akianza kusoma atafurah tu na ataona kawaida sana hatojutia. awe na molary!!
  11. raji makuya

    Uchambuzi wa kitabu: Unanswered Cries

    hawajui maana ya pm. ngoja niwajuze. PM ni private message.
Back
Top Bottom