Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, mwenye moderm ya Halotel ambayo ipo kwenye hali nzuri anijulishe mara moja.
Kwa Wale walioserious wanicheki Inbox.
Asante sana mkuu, sema ndg "Osaka" ameniambia kwa upande wa kinondoni zipo maeneo ya cocacola japo hajanifafanulia ipo kwa upande gan maana eneo lile lina ofisi nyingi
Wasalaam memba wote wa Jf.
Matumaini yangu mu wazima wa afya.
Nahitaji kufahamishwa zilipo ofisi za NHIF wilaya ya Kinondoni.
Je, kwa mjasiriamali kama mimi naweza nikapata Huduma ya bima iyo pmj na familia yangu?
Gharama zake zikoje kwa mtu anayetaka kufungua daraja la tatu yaani Bronze...
Habari zenu waungwana wa jukwaa hili.
Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.
Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.
Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk.
Nimeamua kuziuza sababu zimekuwa kubwa kwangu.
Raba zenyewe ni 'Air Jordan Retro 1-High Top(Black &...
Habari za asubuhi great thinkers wenzangu, natumaini kwa uwezo alitupatia mwenyezi Mungu hatujambo.
Nimeona ni jambo la mbolea kuleta uzi huu kwenye jukwaa hili hasa baada ya uchunguzi yakinifu nilioufanya kwenye kituo cha mabasi Makumbusho.
Wazungu wanakwambia, "No Research, No Right To...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.