Msodoki ni mwamba,
Uwezo wake ni wa kushindanishwa labda na waliomzidi umri sio hawa kina bishoo, Kimya, young d na ma young Wengine wote,
Dogo ana Iq kubwa mnoooo.
Mimi niliandika Jude Bellingham ameshinda tuzo ya Laureus World Breakthrough of the Year, 2024,
Tuzo ya Laureus ni ya Mchezaji bora wa dunia mwenye mafanikio 2024.
Najua wewe iliyokutatiza ni hiyo Mistafi mi3 ya mwisho,
Na ilikutatiza Kwa sababu hukutaka kuelewa unapenda kubishana,
Labda...
Kungekua hakuna haja ungekaa kimya toka juzi au tungekua kwenye mada ingingine,
Ila kwakua haja ipo ndomana umekomaa,
Sasa lazima twende sawa, mi nimekagua post zangu hakuna nilipokosea wala kurekebisha ni vile vile Tu,
Sasa Chagua moja Lete post niliyopotosha au utuambie kwann unachukia Jude.
Maelekezo yangu sio tatizo, Dish lako ndio tatizo halipokei mawimbi vizuri Kwa sababu limeyumba,
Kwani mwanamichezo Alieibuka ni yeye au kashindanishwa?
Na Kama kashindanishwa wameangalia kigezo kipi mpaka kumpa tuzo Jude Kama sio ubora?
Nimegundua unakaza Sana fuvu mkuu achana na hizo mambo...
We ambacho hutaki kipi?Kama kigezo ni kuibuka si wangewapa wote walioibuka kwani kaibuka yeye Tu?
Jude Bellingham kaibuka na kafanya vizuri kuliko wote duniani ndomana kapewa tuzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.