Niliwahi kuota nina mkwe wangu tayari,
kajifungua watoto mapacha watatu,
wa kike wawili wakapotea nikabaki na mmoja wa kiume ambaye nikampa jina la Ibrahim.
Yeye alivyozaliwa tu, muda huo akawa anatembea na pia anaongea.
Je, inamaanisha nini hii ndoto?
Kumbuka nipo single Sina hata mke...
Hiyo ela yako haina uhusiamo na mazishi Ila kutoa kwako kutafanya na yeye akuweke daraja la miongoni mwa watu wake wa maana.
Ulimbukeni wako na ujuaji wa hovyo pamoja udadisi wako wa kitoto kuchunguza kila kitu vimekufanya Ujivunjie heshima Kwa mheshimiwa alikua anakuheshimu na kukamini.
Wachezaji wa Real Madrid usiku huu,
• Arda Güler anaanza akiwa na Uturuki •
Toni Kroos na Rudiger wanaanza huko Ujerumani
• Cama & Tchouameni wanaanza Ufaransa
• Fede Valverde anaanza Uruguay
• LUNIN anaanza na Ukraine
• Jude Bellingham anaanza kwa Uingereza •
Luka Modric anaanza...
Sa Huyu si alisema alifanya kazi Simba Kwa kujitolea hakuna akipata chochote,
Sa alikua anajitaftaje mnafiki huyu.
Sijawahi kua shabiki wa maneno maneno hata alipokua timu yangu Simba alikua ananikera vile vile.
Huyu binti Kama namjua vile ndomana nimeshangaa kaomba nambangu sehemu ili anitafte,
Kumbe kuna kesi hii.
Haya bhana kila lenye kheri liwe mbele yake Ray.
Atampata Tu
Feisal Salum Toto " Zanzibar Finest "
Last born wa taifa kutoka Kizimkaz .
Kiungo wa Mali kabisa huyu mabao 13 ya NBC premier League , mnataka nini tena ?
Nae muwekeni kwenye mijadala yenu au kwakuwa ni Mtanzania ?
Dogo analijua boli [emoji1316]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.