TANZIA:
MAMA YETU KIPENZI MH. PROF. ANNA KAJUMULO KAKUHIRWA TIBAIJUKA AMEFIWA NA MAMA YAKE MZAZI AITWAE AULERIA KAJUMULO SIKU YA ALHAMISI TAR.10.3.2016 KATIKA HOSPITALI YA KAGONDO KAGERA.
MUSIBA UPO NYUMBANI KWA MAMA YETU PROF. ANNA TIBAIJUKA AMBAE NI MTUMISHI WA WANANCHI NA AMEWAHI KUSHIKA...
Ndugu wana jamvi,
YAH: UKIUKWAJI WA KANUNI NA SHERIA ZA KAMPENI KATIKA KURA ZA MAONI ZIFANYWAZO NA MGOMBEA MMOJA AITWAE JERRY SLAA MEYA WA MANISPAA YA ILALA ALIYE SABABISHA MANISPAA HIYO KUWA YA MWISHO KIMAENDELEO TANZANIA KWA UFISADI WAKE:
Ndg. WAHUSIKA NA WANANCHI, husika na...
Ndg. zangu wanaJF,
Mr. Massoro Hussein Kivuga in chaguo la wananchi wa ukonga jijini Dar es Salaam.
Anauzika anafaa anatosha mpaka chenji inabaki. Ukonga kama jumbo ambalo lipo wazi has a baada ya my. Mbunge wa jumbo hill kutangulia mbele ya haki Eugene Mwaiposa, sasa ni wakati wa kumuombea...
Habari zenu wana jamvi:,
mh. Mizengo kayanza peter pinda kazidisha utitiri wa watanzania wanaohitaji aiongoze tanzania.
Suala hili limekuja baada ya mikoa ya kaskazini kusini na mashariki kukunwa zaidi na utendandaji wake uliotukuka na mzuri zaidi ya maelezo hasa pale alipotokomeza ugaidi...
Safari ya uhakika kuelekea ikulu. Mh. Kayanza peter pinda hakamatiki uchaguzi mkuu. Anafaa sana watanzania twamuhitaji.
Mh. Pinda anasifa zifuatazo:,
1. Muadilifu
2. Anakubalika na watanzania 97%
3. Mzalendo
4. Mchapa kazi
5. Anayeguswa na homa za watanzania
6. Upinzani pia tunamkubali na...
Habari zenu wanajamvi,
Mh. steven masatu wasira ndiye habari ya mjini mbio za urais 2015 - 2020.
Wengine naona kama wanaigiza tu kwani hawawezi kuitawala nchi ambayo wasiyoijua, ila kwakua ni democrasia basi hadi madereva wa bodaboda ,tax, na magari makubwa wanaweza kuchukua form.
Steven...
Habari zenu wanajamvi:-,
kwa mara ingine tena baada ya kuwaumbua wezi wanaotafuna pesa za nchi na pesa za wakulima ambao ndio wengi nchini, mh. Steven masatu wassira amepambana vikali na tatizo la chakula na kutuhakikishia watanzania kwamba hatutakuwa na uhaba wa chakula tendo ambalo ni la...
Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka muafrika wa kwanza Barani Afrika kuchaguliwa kwa mara ya kwanza na Baraza la Umoja wa Mataifa Duniani kwa kura na kuchaguliwa kwa kishindo, Pia kuiongoza moja ya Taasisi zake Duniani UN, CCM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
HAPO NI JINSI ALIVYOIBWAGA TUME YA...
ndg. Wana jamvi,
hatime wakili wa prof. Anna tibijuka amewasilisha vithibitisho na ushhidi dhahiri ulioonyesha kuwa fedha za msaada alioutoa mh. James rugemalila kwa hule ya babro johonulfia salama bila shaka yoyote.
Hayo yametokea baada ya mawakili wa Serikali kukosa maneno yakonga na kubaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.