Naam,,,, Hii ndio dunia ruka urukavyo fanya uwezavyo, ifanye dunia kama yako, tetea sana kile unacho kijua ndio kweli! kwa mauaji ya mwanadamu mwenzako, ila tambua kipimo kile unacho wapimia wenzako,nawe utapimiwa hicho hicho, na mwisho wa yote kaburi [emoji3545]ndio mwisho wa jeuli yote hiyo,.