Recent content by Rahussein

  1. R

    Dongo lililojificha kwenda kwa wanaojiita Simba

    zigo remix wa AY na D
  2. R

    Lulu sasa abadilishiwa mashtaka

    Tatizo la nchi zetu kwenye kesi za jinai wanashtaki kwanza na baadae ndio wanafanya upelelezi. Kuthibitisha kosa la mauaji ya kukusudia inahitaji ushahidi tofauti na ule wa kesi ya kuua bila ya kukusudia. Sasa kama hakuna ushahidi wa kuthibitisha murder ilikuwa ni bora kesi iachwe hivyo na...
  3. R

    Lulu sasa abadilishiwa mashtaka

    Mimi sioni kama kuna ukiukwaji wa sheria uliofanywa na Mkurugenzi wa Mashtaka, mshtakiwa hufunguliwa shtaka kulingana na ushahidi uliopo, kama DPP hana ushahidi unaoweza kuthibitisha kwamba Lulu ameua kwa makusudi na aliua bila ya kukusudia kuna haja gani ya kuendelea kumshtaki Lulu kwa mauaji...
  4. R

    Uteuzi wa Dr. Hussein Mwinyi Wizara ya Afya Umezingatia Masuala ya Muungano?

    Siwasikii kulalamika pale mawaziri wenu wa tanganyika ambao wamo ndani ya serikali ya Tanzania kwa kivuli cha muungano wanapojipa mamlaka ya kuiwakilisha Zanzibar nje ya nchi na wakati mwengine hata ndani ya Tanzania kwenye mambo ambayo yapo nje ya Muungano. Kumbe inakera...Nafikiri mkiiiondoa...
  5. R

    Wimbo wa Taifa wa Zanzibar

    Mungu ametubarikia Unguja na Pemba yote Sote tunashangiria Jamhuri kutuletea Mungu ametubarikia Unguja na Pemba yote. ni wimbo ambao upo na tumeimba nikiwa shule ya msingi nashangaa mnajua leo, isitoshe kama Muungano unajumuisha mambo maalum ambayo yametajwa kwenye katiba ya Tanzania sioni...
  6. R

    Tundu Lissu: Rais atengue uteuzi wa majaji haraka iwezekanavyo!

    Ingekuwa mimi JK ningefuta uteuzi wa jaji mmoja na kumteuwa Tundu lisu kuwa jaji, alivyokomalia anaonekana nafasi anaitaka yeye
Back
Top Bottom