pwah!! pwah!! :majani7::majani7::majani7: hi hi hii Tih! TIH! TIH.. mjomba Bujibuji leo umekuwa nabii.. JF vituko vingi sana.. ukisha taliki mke na akili yako kwa kweli unaitaliki vile vile.. mjomba ana vituko
sasa mie sipendi mambo ya kuaibishana.. sasa hapa nani ananangwa, SERIKALI, BAKWATA AU MAASKOFU.. Mie sipendi watu waliovurugwa kuandika maandishi ya kuchanganyana. kwanini msinipe kazi hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.