Recent content by Rahma2

  1. R

    kwa anaeuza mtungi wa gas 10.g

    Nipo kimara, kwa anaeuza anipm
  2. R

    Wale wa tia msaada jamani

    shukrani ndugu yangu!
  3. R

    Wale wa tia msaada jamani

    Habari ndugu zangu! Kwa wale waliopangiwa TIA na wamepata mkopo chini ya 100 asilimia, registration ikoje? Msaada jamani.
  4. R

    Wadau wa Chuo cha Kodi (ITA)

    Kipo poa! Mazingira ni mazuri ya kusomea. Kakomae tu juhudi zako ndio zinazotakiwa.
  5. R

    Loan board

    haah! haah! haah! Daah,
  6. R

    Unapotaka kusoma kozi angalia hali ya nyummbani kwenu

    utapata lukas! Hata mimi nilipata hivyo lakini sasa nimefika mbali. Nipm kama unaweza!
  7. R

    Baadhi ya selection za nacte hazijapelekwa vyuo husika.

    Ndugu kama unaaccount ya fb,like page yao halafu uwatumie msg yenye swali lako. Ndani ya muda mfupi watakujibu... Wako shapu sana.
  8. R

    wale waTIA [dsm]

    Asante sana Allen, asante
  9. R

    wale waTIA [dsm]

    jaman! Na wa NACTE je?
  10. R

    Nit

    Jamani habari! n.i.t wametoa hadi wa NACTE?
  11. R

    NACTE T.I.A selection zimetoka? Msaada tafadhali

    Ni kosa tu la uandishi, sorry kama limekukwaza kiasi cha kushindwa nisaidia jibu ndugu!
  12. R

    NACTE T.I.A selection zimetoka? Msaada tafadhali

    Habari! Naomba kwa anayeelewa anijuze ndugu zangu kama majina ya wanafunzi waliochaguliwa na NACTE T.I.A yametoka! Msaada..
  13. R

    Dada Shilole kwa hili hapana..!

    mlimsikia jana kwenye kipindi cha ala za roho, alikuwa na snura? Anatafuta bifu za kutafuta kwa snura@ kwel majanga!
Back
Top Bottom