Recent content by rahim2012

  1. R

    Kijana Mwenzenu Nishaurini Tafadhari!!

    Hapo ni mawili kaka, kama vipi subiri uongeze mtaji kama mchangiaji alivyoshauri au kama vipi unaweza kuanzisha biashara ya mama ntilie kwasababu biashara ya chakula kaka inalipa sana. kila la kheri
  2. R

    Bikra Imenifunga Mwenzenu!!

    Sio wa kutosha ila tunajarib kumuokoa na kilio cha mtu mzima kwasababu siku hizi mambo yamekuwa hayatabiriki, kila mtu anajaribu ku-play safe.Ujue ingekuwa enzi za wazee wetu wala ndugu yangu hapa asingekuwa na mashaka baada ya kuambiwa usubirie ili aje kuikata mwenyew lakini siku hizi kwa kuwa...
  3. R

    Bikra Imenifunga Mwenzenu!!

    Pole na hongera sana kwa kumpata dem mtulivu na mwenye kujitunza, mi nadhan ni vizur ukiwa mvumilivu na mambo mazuri yako mbele yako. ila ukizidiwa sana we mwambie mpenz wako muangalie ni namna gani mnaweza kurudhishana ili kukizi mahitajio ya miili yenu
Back
Top Bottom