Recent content by rafiki89

  1. R

    Chadema LUDEWA Miguu Juu

    Hii blog walio tupia link yake mbona ina habar mbili tu kuhusu unajim na taarifa ya slaa kwel michezo michafu inawenyewe ila wakat huu wamegonga mwamba na km wavuvi wa pweza tutakutana mwamban
  2. R

    TCRA msiishie tu kuipa adhabu Magic FM geukeni pia kwa radio One Stereo kwani ni hatari sana

    Embu tumbe maoni juu ya tbc ilivyoruka habari ya mafuriko nakijifanya km hamna habar kubwa
  3. R

    Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Edward Lowassa kutoka Songea

    Tupend update hilo siyo jipya fununu zilishatoka mwanzo wa mwez wa tisa ukawa itatikiswa mana yake ni pandikizi na waliokuwa waleeta habar tunawajua
  4. R

    GE2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

    Mhhh changa la macho
  5. R

    CCM ni chama chenye nguvu Tanzania

    Ccm kudanga jangwan kwa picha kutengeneza angalia kwa uthibitisho
  6. R

    CCM ni chama chenye nguvu Tanzania

    Huyu ndio hamnazo kabisa
  7. R

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Nimepewa 20000 kwa ajili ya madhulio ya makufuli leo nimenda nimekaa sa moja nkaondoka
  8. R

    Msaada: Ninafika kileleni ndani ya dakika 1

    Vyakula vinavyotibu tatizo la nguvu za kiume ni pamoja na vifuatavyo: 1. Kitunguu swaumu Chukuwa punje 8 mpaka 10 hivi za kitunguu swaumu, menya na uzikate vipande vidogo vidogo kisha meza na maji vikombe 2 kutwa mara 2 kwa mwezi mmoja. Soma hii => [Kitunguu Swaumu Hutibu Magonjwa 30]. 2...
Back
Top Bottom