Haya ndiyo mapungufu ya mfumo wetu wa elimu na utawala. Kuwa na cheti cha shahada katika fani fulani haina maana ni kuwa mtendaji mzuri katika fani husika. Maana mtu anaweza kupata cheti kwa njia nyingi sizizo za kihalali. Lakini pia cheti hakitoi fursa ya kujua mwenendo na tabia ya muhusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.