Recent content by RadioActive Rajab

  1. R

    Vitabu vya Willy Gamba (Elvis Musiba)

    Mi mwaka 2006 niligombana na kaka yangu kisa vitabu 2 "Njama" na kingine "kufa na kupona" kisa alimhonga msichana wake!!!nililia sana mana nilikuwa navisoma mara mbili mbili nilikuwa naviita vitabu vya Willy Gamba 2liachiwa na baba ye2 dats was his legacy 2 me!!!jaman iv vitabu ni vizuri...
  2. R

    usiipite thread hii tafadhali nisaidie

    wee acha utani SUA akasome nini hasa!!!
  3. R

    kwa wanaojua horticulture,agronomy na agricultural general

    Wee Dump Nuts kwan amna wanawake wanaosoma engineering na medicine!!!!utasema wapo ila wachache co!!!sasa uliza ni Wanawake wangap wanaosoma Agronomy Sua!!!!
  4. R

    kwa wanaojua horticulture,agronomy na agricultural general

    Ckia kijana kwanza inabid ujijue ww kama ww unataka uwe nani sawa!horticulture wanajihusisha na kilimo cha mboga mboga na matunda then maua pia Agric.general anagusa koz karibu zote za apa sua!!Agronomy anatofautiana na hao wote kwani yeye anashare koz na nying sana na hort ila Agronomist ndie...
  5. R

    For suaso members

    simbi ndo habari ya SUA
  6. R

    Mimi na BVM bhaasiii..!! Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa

    Twende ze2 ze dudu achana na hao waliokuwa wanatoa maneno ya mikeka!!!BVM yaukweli chalii sema 2 msuli!ila mi naamin unaeza!mi niko AGRONOMY 2na Prof. Mrema anakwambia alimsikia Nyerere akisema "It can be done,just play your part" lets play our parts bro n lets do this!!!Akili bado inachemka na...
  7. R

    Sua is not an eaSy thing..!!

    Tatizo mnaponda 2 lakn ukweli ndo huo!!asa wa2 wacongee au!!!BIG UP ZE DUDUZ!!!wacha 2pige msuli na haliwi m2 kichwa apa!!!
  8. R

    kwa wana SUA

    wee Obwato nawee sepa huna jipya!!!nani kakwambia anatafuta mademu apa SUA!!!!madem wenyewe apa sua wamechukua sura za baba zao!!!kwa mademu wapi hasa SEPA ZAKO UKO HATISHWI M2 APA!!!
  9. R

    kwa wana SUA

    Sokoine University of Assignments!!!lazma ukae!!NO SWAG!!
  10. R

    Wale ambao hamjaripoti sua

    kama umejiunga bima ya afya haina tabu wanapokea na hutoi laki 1 ya matibabu!!karibu sana leo 2ko Freedom Square Mazimbu!!!Orientation
  11. R

    Wale ambao hamjaripoti sua

    ucwaze ntakuchek niko block A nikitoka kwenye orientation ntakuchek!!!wee ndo ujanijua ila nishakujua mbona!
  12. R

    Wale ambao hamjaripoti sua

    niko room #8 kama vp 2juane
  13. R

    Watu wa sua mbona tuko kimya sana?????

    iyo apo juu best mzava keshatoa mkuu!!na ile nyingine fee acount ni ivoivo sema namba 2 za mwisho unaondoa 35 unaeka 36
  14. R

    Watu wa sua mbona tuko kimya sana?????

    co lazma mpaka chuo mi nimeongea na jamaaa angu ni m1 kati ya mawazir pale chuo anasema unaeza lipa kwa kupitia ac ya acomodation ambayo wametoa kwenye join instruction ili kuepuka usumbufu then unaenda na payin slip mpango mzima ndo unakuwa ivo!
  15. R

    Watu wa sua mbona tuko kimya sana?????

    nimelipia registration,identity,caution money,medical,acomodation,examination fee, library,vyote nimelipa per yr mkuu!!ndo inakuja lak 3 na 54!!
Back
Top Bottom