Recent content by radika

  1. radika

    PostGE2025 Kocha Gamondi: Ushindi wa Tanzania ni heshima kwa waliopoteza maisha Oktoba 29

    Miaka ya 2017 ulikuwaga chawa kama sijakosea
  2. radika

    PostGE2025 Kuhusu kiongozi wa CHADEMA kudai atakinukisha suala lipo Mahakamani. Je, tume ya uchunguzi inachuguzaje suala hili?

    Tarehe 9 tutawakata vichwa waandamanaji kutoka kwa shehe yupo mtaani
  3. radika

    GE2025 Kumbusho: Nafurahia kumuona Godwin Mollel naye ameanza kuimba utekaji

    Kimemlamba jini limefugwa sasa limetoka kwenye chupa linataka damu.
  4. radika

    GE2025 Jaji Hamidu Mwanga akataa kujitoa kwenye kesi ya CHADEMA

    Ila ccm ipo taabani sna fikiria taasisi za umma zinavyoikingia kifua jaribu kuwaza siku polisi,mahakama na tume huru ya uchagazi vikae mbali hata kura 100 hawatoboi kwenye masanduku kila wataposhiriki chadema ina vikwazo vingi lakin bado ccm haipumui.
  5. radika

    PreGE2025 Paul Makonda anaandaliwa kuwa Waziri Mkuu?

    Anawezaje kwenda kinyume na bosi wake? Yaani yy akahangaike na ufisadi ikiwa toka 2021 had sasa ripot za CAG zipo kabatini zinasomwa kama gazeti la sani.
  6. radika

    GE2025 Utata Samia kupitishwa kuwa mgombea urais CCM 2025

    Ccm wameharibu katiba ya nchi mahakama,bunge,polisi wetu wazur na uhamiaji sasa wamehamia kwenye kuharibu katiba yao ukishazoea kula nyama ya mtu kamwe huwezi kuacha by mwalimu Nyerere.
  7. radika

    Balozi Polepole naye anadai reforms akiwa ndani ya CCM!

    Ila ukiangalia wakina mdude na soka na wengineo waliotoweka inatia uchungu sana zile damu za mdude zinaumiza sana Mungu afanye jambo.
  8. radika

    Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

    Mungu yupo damu yako haitokwenda bure. 🙏🙏
Back
Top Bottom